Zitto aililia 'I'm Sorry JK' ya Nikki Mbishi
Rapa Nikki Mbishi leo kupitia mtandao wake wa Instgram aliweka ujumbe ukionyesha wimbo wake wa 'I'm sorry JK' kuwa umepigwa marufuku na Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), jambo ambalo limeonesha kumgusa mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe.