Vardy ni muongo - Samir Nasri

Jinsi tukio lilivyokuwa

Samir Nasri amemwita mshambuliaji wa Leicester City Jamie Vardy "Mwongo", kufuatia kuhusika kwake kumsababishia kiungo huyo wa Sevilla kutolewa kwa kadi nyekundu, kwenye mchezo wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, Jumanne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS