Kikwete aulima 'MEMO' uongozi wa Barcelona

Ridhiwani Kikwete

Mbunge wa Chalinze ambaye pia ni miongoni mwa wadau wakubwa wa soka nchini Tanzania, Ridhiwani Kikwete ameutaka uongozi wa klabu ya FC Barcelona ya nchini Hispania kurudi kwenye falsafa yake ya uchezaji, na kuachana na mtindo unaotumiwa hivi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS