Shamba la bangi tayari kwa kuteketezwa, huku mtuhumiwa wa kilimo hicho akiwa chini ya ulinzi (Picha: Maktaba)
Kuanzia sasa, kwa mtu yeyote atakayekutwa na shamba la dawa za kulevya aina ya banngi, anaweza kutiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha kuanzia miaka 30 gerezani