Kikwete 'alivyopora dili' la kiwanda cha vigae

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete akiambatana na Waziri Charles Mwijage kukagua eneo ambapo kitajengwa kiwanda cha vigae.

Ujanja, na uwezo mkubwa wa kujiongeza kwa Mbunge wa Chalinze, Mh. Ridhiwani Kikwete ndiyo mambo yaliyosababisha kiwanda kipya cha vigae kijengwe Chalinze badala ya Mkuranga mkoani Pwani kama ilivyokuwa imepangwa awali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS