Simba bado ina nafasi ya ubingwa - Mkude Jonas Mkude Nahodha wa klabu ya Simba inayosaka ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara msimu huu Jonas Mkude, amewatoa hofu mashabiki wa timu na kuwaeleza kuwa bado nafasi ya ubingwa ipo upande wao. Read more about Simba bado ina nafasi ya ubingwa - Mkude