Raia 14 wa India wapandishwa kizimbani

Raia wa India wakiwa Mahakamani leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia kwa dhamana raia14 wa kigeni wenye asili ya Asia baada ya kusomewa mashtaka 3 mahakamani hapo ya kufanya kazi kinyume cha sheria katika kampuni ya Quality Group Company iliyopo hapa nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS