Simba na mawindo ya Mbao FC Mwanza

Baada ya kupoteza pambano lao dhidi ya Kagera Sugar kwa kukubali kufungwa kwa jumla ya mabao 2-1,kikosi cha Simba kimeshawasili mkoani Mwanza kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wao wa ligi kuu ya Tanzania bara dhidi ya Mbao FC utakaopigwa Aprili 10.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS