VIDEO: TID kumshtaki Steve Nyerere

Msanii wa Bongo Fleva: TID

Msanii mkongwe wa bongo fleva Khalid Mohamed 'TID' ameahidi kuwachukulia hatua watu wanaosambaza taarifa kuwa amepewa pesa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kama kivuli katika sekeseke la kutaja majina ya wanaohusika na dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS