Manara atangaza hali ya hatari

Haji Manara

Mkuu wa idara ya habari na mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amefunguka na kusema klabu ya Yanga haiwezi kuifunga Simba sehemu yoyote ile kama mchezo utakuwa wa haki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS