Majaji waicharukia serikali kesi ya Lema

Lema akirudishwa gerezani (Picha: Maktaba)

Mwenyekiti wa kikao cha jopo la Majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, kinachoendelea Arusha, Bernard Luanda, leo amegeuka mbogo kwa wanasheria wa serikali kwa kitendo cha kumnyima Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema dhamana kwa lengo la kumyima haki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS