Mbowe akwaa kisiki mahakamani

Freeman Mbowe

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ya kutaka asikamatwe na polisi mpaka pale kesi yake ya kikatiba dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda itakapomalizika

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS