Madee 'amfungia' binti yake Instagram
Rais wa Manzese, Madee Seneida ameapa kutomuhusisha binti yake na mitandao ya kijamii kwa sasa bali anapambana kufanya kazi katika kuhakikisha anamtengenezea binti yake maisha na kumuwekea akiba ya pesa benk na siyo picha.

