CCM yafanya uteuzi Chama cha Mapinduzi CCM kupitia Kamati kuu (CC) kwa niaba ya halmashauri kuu taifa NEC, kimefanya uteuzi wa wagombea walioomba kuwania nafasi ya Uenyekiti katika wilaya Sita nchini zikiwemo zile wilaya za kichama. Read more about CCM yafanya uteuzi