Waliomshambulia Lissu wasamehewa
Mke wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Alicia Magabe amesema amewasamehe watu waliofanya shambulio la kumpiga risasi Mume wake ingawa bado anataka haki itendeke ikiwa ni pamoja na kufahamu walifanya kwa lengo gani na nani amewaagiza.