Diwani wa CHADEMA, auwawa

Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kata ya Namwawala wilaya ya Kilombero Godfrey Luena ameuwawa kwa kukatwa katwa na mapanga na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS