Wasichana wa shule na waalimu wanusurika kutekwa
Wanafunzi wa kike na waalimu wao huko kasikazini mashariki mwa nchi ya Nigeria wamripotiwa kufanikiwa kutoroka na kukwepa shambulio lililopangwa kufanyika katika shule hiyo na kundi la kigaidi la Boko Haram.

