Mtoto wa Ngwair amtoa 'shipa' Dully Sykes

Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes amefunguka na kudai amesikitishwa na swahiba wake marehemu Albert Mangwear kufariki bila ya kuacha mtoto hata mmoja ambaye angeweza kumsomea dua katika kumbukumbu ya siku ya kifo chake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS