Mtoto wa Ngwair amtoa 'shipa' Dully Sykes
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes amefunguka na kudai amesikitishwa na swahiba wake marehemu Albert Mangwear kufariki bila ya kuacha mtoto hata mmoja ambaye angeweza kumsomea dua katika kumbukumbu ya siku ya kifo chake.