Mwenyekiti Yanga aweka wazi mipango ya usajili Siku chache baada ya kuundwa kwa kamati ya mpito ya kuivusha Yanga katika kipindi kigumu walicho nacho, Mwenyekiti wa kamati hiyo Abasi Tarimba amefunguka kuhusu masuala ya usajili ndani ya klabu hiyo. Read more about Mwenyekiti Yanga aweka wazi mipango ya usajili