Wanawake waonywa kufanya mapenzi na raia wa kigeni

Mbunge mmoja nchini Urusi anasema kuwa wanawake hawatakiwi kufanya mapenzi na wageni wakati wa kombe la dunia huku ambapo ameeleza kuwa watoto wanaozaliwa huwa na rangi tofauti kitu ambacho kinapingwa vikali ncini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS