"Wizara haiingilii uhuru wa mtu kutoweka " Lugola Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola. Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema wizara hiyo haihusiki wala kuingilia uhuru wa mtu kutoweka nyumbani kwake kwa kuwa kila mtu ana uhuru kikatiba kwenda mahali anapotaka. Read more about "Wizara haiingilii uhuru wa mtu kutoweka " Lugola