Pointi zatawala michezo ya 16 bora

Wachezaji wa DMI (Chuichui) kwenye mechi yao dhidi ya Fast Heat (Blue) mapema leo.

Katika mwendelezo wa mechi za hatua ya 16 bora zinazoendelea mchana huu kwenye viwanja vya Airwing Ukonga jijini Dar es salaam, mpaka sasa timu tatu zimeshafanikiwa kutinga robo fainali huku ushindani wa ponti ukitawala.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS