Azam waweka wazi lini Shabaan Idd anatua Hispania

Mchezaji Shaaban Idd mwenye jezi nyeupe kwenye moja ya mechi za timu yake.

Klabu ya soka ya Azam FC kupitia kwa meneja wake Phillip Alando, imesema mshambuliaji wao Shaaban Idd ambaye amesajiliwa na timu ya Tenerife ya Hispania, ataondoka nchini mara baada ya michuano ya Kombe la Kagame.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS