TFF na Mtibwa Sugar mezani kumaliza utata

Maofisa wa TFF, kutoka kushoto ni Salum Madadi mkurugenzi wa ufundi, katibu mkuu wa TFF Kidao Wilfred na Afisa habari Cliford Ndimbo. (Picha haihusiani na habari)

Viongozi wa klabu ya soka ya Mtibwa Sugar wamelazimika kusafiri kutoka Morogoro na kuja Dar es salaam, kwaajili ya kukaa meza moja na viongozi wa TFF ili kumaliza utata juu ya ushiriki wao katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS