COSTECH yasikitishwa na uamuzi wa TWAWEZA

Kaimu Mkurugenzi Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), Dkt. Amos Nungu.

Wakati taasisi ya TWAWEZA ikipewa siku saba kujieleza ni kwanini isichukuliwe hatua za kisheria kwa kutoa matokeo ya utafiti bila ruhusa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH), imesema kuwa imesikitishwa na kusambaa kwa barua hiyo mtandaoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS