Jeshi la Polisi lamdaka mwalimu aliyebaka

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Ramadhani Ng'anzi

Jeshi la Polisi limefanikiwa kumkamata mwalimu wa shule ya sekondari Loliondo, Erick Kalaliche mkoani Lindi ambaye anatuhumiwa kwa kosa la kumbaka mwanafunzi wake wa kidatu cha tatu katika shule ya sekondari Loliondo kabla ya mwalimu huyo kuhamishwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS