Irene Uwoya apigwa onyo

msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), imempiga onyo msanii wa filamu nchini, Irene Uwoya kwa kitendo chake cha kuchapisha picha za nusu utupu kwenye mitandao huku wakimsisitizia kuwa endapo atarudia kufanya hivyo adhabu kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS