IGP aingia kwenye 18 za Waziri Lugola

Kushoto ni Waziri Lugola, Kulia ni IGP Simon Sirro

Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mh. Kangi Lugola, ametoa muda wa siku 14 kwa Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Simon Sirro kufika ofisini kwake kumueleza mikakati ya kuwawezesha Watanzania kufanya kazi kwa saa 24 ikiwa ni pamoja na kuzuia matishio ya mabasi kutembea nyakati za usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS