FIFA yampotezea Neymar Jr

Mchezaji Neymar Jr kwenye tuzo za mwaka 2017.

Shirikisho la soka duniani FIFA limemwacha nyota wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Brazil Neymar Jr kwenye orodha ya wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2018.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS