Pichani aliyekuwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa (kulia), na Omary Kaaya.
Tetesi zinasema kuwa klabu ya Yanga imeanza kuziba mapengo ya watendaji wake kwa kumteua Omary Kaaya kuwa Kaimu Katibu Mkuu akichukua nafasi ya Charles Boniface Mkwasa.