Fahamu zaidi gawio alilopewa Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya TIPER, Profesa Abdulkarim Mruma katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam Jumatatu Julai 23, 2018.

Mhadhiri wa chuo kikuu na mchambuzi wa masuala ya uchumi Dokta Rein Kasoga, amefafanua kuhusu michango ya kampuni, Taasisi na mashirika ya umma katika pato la taifa ambapo huchangia asilimia 15 kwenda serikalini, na mapato hayo huingia kwenye mfuko wa maendeleo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS