
Mchezaji Neymar Jr kwenye tuzo za mwaka 2017.
Katika orodha ya majina 10 yaliyotajwa leo na FIFA nyota huyo hajajumuishwa, hali ambayo imezua mijadala mbalimbali kwa wadau wa soka wengine wakiunga mkono uamzi wa FIFA na wengine wakipinga kuwa alistahili kuwepo kwenye orodha hiyo.
Tuzo hiyo kwa msimu uliopita ilitwaa Cristiano Ronaldo na kuwashinda mpinzani wake Lionel Messi aliyeshika nafasi ya pili na Neymar Jr aliyeshika nafasi ya pili. Kwa upande wa makocha wa kiume tuzo hiyo alichukua Zinedine Zidane.
Orodha ya wanaume
Cristiano Ronaldo - Juventus na Ureno
Kevin De Bruyne - Manchester City na Ubelgiji
Antoine Griezmann - Atletico Madrid na Ufaransa
Eden Hazard - Chelsea na Ubelgiji
Harry Kane - Tottenham na England
Kylian Mbappe - Paris St-Germain na Ufaransa
Lionel Messi - Barcelona na Argentina
Luka Modric - Real Madrid na Croatia
Mohamed Salah - Liverpool na Misri
Raphael Varane - Real Madrid na Ufaransa
Mchezaji Cristiano Ronaldo (kushoto) na kocha Zinedine Zidane (kulia) wakiwa na tuzo zao za mwaka 2017.
Orodha ya makocha wa kiume
Massimiliano Allegri (Ita) - Juventus
Stanislav Cherchesov (Rus) - Urusi
Zlatko Dalic (Cro) - Croatia
Didier Deschamps (Fra) - Ufaransa
Pep Guardiola (Spa) - Manchester City
Jurgen Klopp (Ger) - Liverpool
Roberto Martinez (Spa) - Ubelgiji
Diego Simeone (Arg) - Atletico Madrid
Gareth Southgate (Eng) - England
Ernesto Valverde (Spa) - Barcelona
Zinedine Zidane (Fra) - Real Madrid
Orodha ya wanawake
Lucy Bronze - Lyon na England
Pernille Harder - Wolfsburg na Denmark
Ada Hegerberg - Lyon na Norway
Amandine Henry - Lyon na Ufaransa
Samantha Kerr - Perth Glory/Chicago Red Stars na Australia
Saki Kumagai - Lyon na Japan
Dzsenifer Marozsan - Lyon na Ujerumani
Marta - Orlando Pride na Brazil
Megan Rapinoe - Seattle Reign na Marekani
Wendie Renard - Lyon na Ufaransa
Orodha ya Makocha wanawake
Emma Hayes (Eng) - Chelsea
Stephan Lerch (Ger) - VfL Wolfsburg
Mark Parsons (Eng) - Portland Thorns
Reynald Pedros (Fra) - Olympique Lyonnais
Alen Stajcic (Aus) - Australia
Asako Takakura (Jpn) - Japan
Vadao (Brz) - Brazil
Jorge Vilda (Spa) - Hispania
Martina Voss-Tecklenburg (Ger) - Switzerland
Sarina Wiegman (Ned) - Uholanzi