Muna Love aibuka na jipya kumuenzi Patrick Kushoto ni Marehemu Patrick na kulia ni Muna Love Baada ya mtoto wake Patrick kufariki, Muna Love ameanzisha taasisi itakayosaidia watoto wenye maradhi mbalimbali ambayo inafahamika kwa jina la 'Patrick Foundation', ambayo ameifungua ili kumuenzi mwanawe. Read more about Muna Love aibuka na jipya kumuenzi Patrick