Mabilioni yaliyotumika na serikali kwenye korosho
Serikali imesema mpaka sasa imelipa zaidi ya shilingi bilioni 83 kwa wakulima wa korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara, pamoja na Ruvuma huku zaidi ya wakulima 82,835 kutoka mikoa hiyo wakiwa wamepatiwa fedha zao.