Vyama 15 vya upinzani vyaungana

Baadhi ya viongozi wa vyama vilivyoshiriki kutoa tamko la pamoja

Vyama vya upinzani 15 nchini vimeungana kupinga muswada wa marekebisho ya sheria ya vyama vya siasa ambao ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni mwezi uliopita wakati wa mkutano wa 13 wa Bunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS