Yanga yaweka wazi kuhusu kumsajili wa Haruna Moshi
Mwinyi Zahera na Haruna Moshi
Vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara, klabu ya Yanga, imeweka wazi kuwa haina mpango wa kumsajili kiungo wa zamani wa Simba ambaye kwasasa anaichezea African Lyon Haruna Moshi maarufu 'Boban'.