Mahakama ya mafisadi yatoa hukumu

Aliyehukumiwa kifungo cha maisha Jela na Mahakama ya Mafisadi, Ana Moisie raia wa Msumbiji

Mahakama Kuu Kitengo cha Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imemuhukumu Mwanamke mmoja wa raia wa Msumbiji Ana Moisie Chissano kifungo cha maisha baada ya kukutwa na dawa za kulevya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS