Manara ashangazwa na jina lake nchini Zambia
Afisa habari wa klabu ya 'Wekundu wa Msimbazi' Simba, Haji Manara ameonesha kushangazwa na jinsi jina lake lilivyo na umaarufu nchini Zambia ambako klabu hiyo imepiga kambi kwaajili ya mchezo wa Klabu Bingwa Afrika.