Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, amedai kwamba baada ya watu kudharau katika haki kwa muda mrefu sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli anawaunganisha watanzania.