Whatsapp na Facebook zazuia idadi ya meseji Watoa huduma wa mitandao ya kijamii ya 'Whatsapp' na 'Facebook' wamepunguza kiwango cha kusambaza ujumbe mfupi wa maandishi ambapo sasa mtumiaji hatoweza kusambaza ujumbe kwa watu zaidi ya watano. Read more about Whatsapp na Facebook zazuia idadi ya meseji