Lissu atuhumiwa juu ya Mbowe kuteseka magereza

Kulia pichani ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kushoto.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, amedai kushangazwa na kitendo cha Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu kutumia nafasi yake ya Ustaafu wa Urais wa Chama cha Wanasheria kuwashawishi mawakili wajitoee katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS