DC afunguka zahanati kutumia choo cha nyasi Picha ya choo kilichozua mjadala Mkuu Wa Wilaya ya Masasi Mh. Ramadhani Mzee, ametoa maelezo juu ya picha inayozunguka mitandaoni ikionesha choo cha nyasi kinachotumiwa na wajawazito katika zahanati ya Namalembo, wilayani humo. Read more about DC afunguka zahanati kutumia choo cha nyasi