Hakimu ahoji kesi ya Wema Sepetu
Baada ya Wakili wa Serikali, Mosia Kaima kudai kuwa kesi ya Muigizaji Wema Sepetu iliyokuwa imepangwa kwa ajili ya kutajwa siku ya leo, upelelezi wake bado haujakamilika, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka kuhakikisha upelelezi wa kesi hiyo unakamilika kwa wakati.

.jpg?itok=Zekc0rOn)