Wambura aamua kufanya walichofanya Ubelgiji FIFA

Michael Wambura

Aliyekuwa makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura kabla ya kufungiwa maisha na TFF na kifungo hicho kuthibitishwa na FIFA, amesema hakuna chombo chenye mamlaka ya kukaidi maamuzi ya mahakama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS