Wema azungumzia kukatwa utumbo

Kulia ni Wema Sepetu wakati akiwa mnene, na kulia ni Wema Sepetu wa sasa ambaye amepungua kwa muda mfupi.

Msanii wa kike asiyeishiwa drama kutoka kiwanda cha Bongo Muvi, Wema Sepetu ameibua jipya kuhusiana na ishu yake ya kupungua uzito ambapo amesema sababu hasa iliyomfanya awe hivyo ni msongo wa mawazo ‘stress’.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS