Ommy Dimpoz aeleza alivyokata tamaa ya kuishi Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amebainisha kuwa alipokuwa kwenye matibabu nchini Ujerumani alikata tamaa na kudhani angepoteza maisha baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu. Read more about Ommy Dimpoz aeleza alivyokata tamaa ya kuishi