Ommy Dimpoz aeleza alivyokata tamaa ya kuishi

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz amebainisha kuwa alipokuwa kwenye matibabu nchini Ujerumani alikata tamaa na kudhani angepoteza maisha baada ya kusumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS