Musukuma amchongea Lissu kwa Spika

Tundu Lissu akiwa na Spika Ndugai.

Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku 'Musukuma' amehoji ni lini Bunge litasitisha mshahara wa mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu aliyedai kuwa amepona na sasa anaitukana serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS