Ukweli kuhusu kutekwa kwa Mwandishi Tabora
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, amesema kuwa Mwandishi wa Habari wa Radio Kwizera, mkoani humo George Bahamu, anayedai kutekwa na kutelekezwa porini huenda alikuwa na mambo yake binafsi kwa sababu mtekaji hawezi kukuacha kienyeji tu.