Kauli ya Lowassa kuhusu uamuzi wa Sumaye
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, amesema hawezi kusema chochote juu ya hatua alizozichukua Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, kutangaza kukihama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA na kuwa mshauri wa chama chochote.