Ujumbe wa Rais Magufuli baada ya kuingia 2020

Rais Magufuli na Mkewe wake Janet Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewatakia Watanzania wote heri ya Mwaka mpya wa 2020 na kuwaomba waendelee kudumisha amani na upendo ili uwe mwaka wa maendeleo na ustawi kwa Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS