DC akanusha kuagiza bendera za CHADEMA kushushwa

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Dkt Khalfan Haule.

Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Dkt Khalfan Haule, amekanusha taarifa zinazotembea kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye aliagiza bendera zote za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika wilaya yake kung'olewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS